Picha: Spika wa Bunge Job Ndugai akutana na Balozi wa Qatar nchini


Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania  Abdullah Jassim Al-Maadadi alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.




Chanzo MUUNGWANA BLOG
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON