YANGA SC YAWAFUATA REAL JIJINI BAMAKO MECHI JUMAPILI USIKU
KIKOSI cha Yanga kimeondoka leo nchini kwenda Bamako nchini Mali kwa ajili ya mchezo wake wa mwisho wa mzunguko wa kwanza wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Réal Bamako Jumapili kuanzia Saa 1:00 usiku Uwanja wa Machi 26 Jijini Bamako.
Mechi nyingine ya kundi hilo Jumapili; TP Mazembe watakuwa wenyeji wa Monastir ya Tunisia kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa TP Mazembe Jijini Lubumbashi, DRC.
Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON
