Wananchi walipwa mabilioni kupisha mradi wa madini

Takribani wananchi 776 wa vijiji saba vilivyopo kata ya Matambale wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi  wamelipwa Sh7.45bilioni za  fidia ya mazao yao ili kupisha mradi wa uchimbaji madini

from Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwanzo http://bit.ly/2VYuepf
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON