HUYU MAMADOU DOUMBIA TAYARI KUANZA KAZI JANGWANI
BEKI mpya wa Yanga, Mamadou Doumbia aliyesajiliwa kutoka Stade Malien ya kwao, Mali akiwa na Rais wa klabu hiyo, Mhandisi Hersi Said baada ya kuwasili nchini tayari kuanza kazi kwa mwajiri wake huyo mpya.
Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON
