MECHI YA WATANI SIMBA NA YANGA YASOGEZWA MBELE LIGI KUU


MCHEZO wa marudiano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya watani, Simba na Yanga uliopangwa kufanyika Aprili 9, mwaka huu umesogezwa mbele hadi Aprili 16 Saa 11:00 jioni, ingawa siku inabaki kuwa Jumapili.




Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON