MUSONDA AFUNGA BAO PEKEE YANGA YASHINDA 1-0 KIGAMBONI


BAO pekee la mshambuliaji mpya kutoka Zambia, Kennedy Musonda limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Dar City katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Avic Town, Somangira, Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.


Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON