CHAMA AKABIDHIWA TUZO YAKE YA MCHEZAJI BORA WA SIMBA DESEMBA


KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia, Clatous Chotta Chama akiwa ameshika Tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Simba SC baada ya kukabidhiwa na wadhamini, Emirate Aluminium Profile sambamba mfano wa Hundi ya Sh. Milioni 2 leo Jijini Dar es Salaam.




Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON