MWANA FA NAIBU MPYA WAZIRI WA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO



RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amemteua mwanamuziki na Mbunge wa jimbo la Muheza mkoani Tanga kuwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, akichukua nafasi ya Pauline Philipo Gekul aliyehamishiwa Wizara ya Katiba na Sheria.




Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON