YANGA SC YAACHANA NA WINGA 'MTAALAMU' JESUS MOLOKO


KLABU ya Yanga imeachana na winga, Jesus Ducapel Moloko baada ya misimu miwili na nusu tangu ajiunge nayo Agosti mwaka 2021 akitokea AS Vita ya kwao, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).


Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON