KOCHA MPYA WA TAIFA STARS NI MUALGERIA
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtambulisha Mualgeria, Adel Amrouche kuwa kocha mpya wa timu ya taifa, Taifa Stars
Adel Amrouche mwenye uraia wa Ubelgiji pia, ana uzoefu na soka ya Afrika, kwani licha ya kuzaliwa, kucheza na kufundisha Algeria pia amekuwa kocha katika mataifa mengine kadhaa barani.
Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON
