KOCHA MPYA WA TAIFA STARS NI MUALGERIA


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limemtambulisha Mualgeria, Adel Amrouche kuwa kocha mpya wa timu ya taifa, Taifa Stars
Adel Amrouche mwenye uraia wa Ubelgiji pia, ana uzoefu na soka ya Afrika, kwani licha ya kuzaliwa, kucheza na kufundisha Algeria pia amekuwa kocha katika mataifa mengine kadhaa barani.
WASIFU WAKE
Jina Kamili Adel Amrouche
Kuzaliwa  7 March 1968 (Miaka 54)
Alipozaliwa  KoubaAlgiers, Algeria
Nafasi  Kiungo 
TAARIFA ZA KAZI
Timu ya sasa  Tanzania (Kocha)
Timu za Vijana 
1983–1985 CR Belouizdad
1985–1988 JS Kabylie
Timu za Wakubwa*
Mwaka Timu Mechi  (Mabao)
1988–1990 OMR El Annasser
1990–1991 USM Alger
1991–1992 OMR El Annasser
1992–1993 Favoritner AC
1994–???? La Louviére
Mons
Timu Alizofundisha
1995–1996 FC Brussels (Technical Director)
1996–2002 R.U. Saint-Gilloise (General Director)
2002–2004 DC Motema Pembe
2004 Equatorial Guinea
2005 FC Volyn Lutsk (Technical Director)
2005 FK Genclerbirliyi
2005–2006 DC Motema Pembe
2006–2007 R.U. Saint-Gilloise (Technical Director)
2007–2012 Burundi
2013–2014 Kenya
2016 USM Alger
2018 Libya
2018–2019 MC Alger
2019–2022 Botswana
2022 Yemen


Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON