GEITA GOLD YAFUNGIWA KUSAJILI HAIJAMLIPA BEKI MGHANA FEDHA ZAKE
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limeifungia klabu ya Geita Gold kufanya usajili hadi itakapomlipa beki Mghana, Shawn Oduro aliyepeleka malalamiko yake kwenye bodi hiyo ya soka duniani.
Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON

