Wachezaji 18 Yanga walioenda Shinyanga kuivaa Stand United

Wachezaji 18 Yanga walionda Shinyanga kuivaa Stand United

Kikosi cha Yanga leo Asubuhi kiliondoka Dar Es Salaam kuelekea jijini Mwanza na Baadae Shinyanga ambapo watakuwa na mchezo dhidi ya Stand United Jumamosi.

Wachezaji ambao wameenda kwenye msafara wa Yanga ni Makipa Klaus Kindoki na Ibrahim Hamid.

Walinzi

Paul Godfrey, Gadiel Michael, Juma Abdul, Haji Mwinyi, Andrew Vincent, Kelvin Yondani , Abdallah Shaibu Ninja.

Viungo : Feisal Salum, Said Makapu, Pius Buswita, Mrisho Ngassa, Haruna Moshi Boban na Deus Kaseke.

Washambuliaji walioenda ni

Amis Tambwe, Heritier Makambo na Ibrahim Ajibu

Pata Maujanja ya wakubwa Tu hapa

The post Wachezaji 18 Yanga walioenda Shinyanga kuivaa Stand United appeared first on KWATA UNIT Sports News.



from KWATA UNIT Sports News http://bit.ly/2TQwnBw
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON