Rais Magufuli ampongeza Joe Biden kwa ushindi


Rais wa Tanzania John Magufuli amempongeza Rais mteule Joe Biden na aliyekuwa mgombea mwenza Kamala Harris kwa ushindi walioupata katika uchaguzi mkuu wa Marekani.

Katika Ukurasa wake wa Twitter Rais Magufuli ameseme anawahakikishia wawili hao kuwa Tanzania itaendelea kutunza uhusiano uliopo kati ya nchi hizo mbili.



Chanzo MUUNGWANA BLOG
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON