BRAZIL YATINGA FAINALI COPA AMERICA, YAISUBIRI ARGENTINA
TIMU ya taifa ya Brazil imefanikiwa kutinga fainali ya Copa America baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Peru katika mchezo wa Nusu Fainali usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Nilton Santos Jijini Rio de Janeiro.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo wa Lyon ya Ufaransa, Lucas Paquetá dakika ya 35 akimalizia pasi ya nyota mwenzake wa Ligue 1, Neymar wa PSG.
Brazil sasa itakutana na mshindi kati ya Argentina na Colombia zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho na fainali itachezwa Jumapili.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo wa Lyon ya Ufaransa, Lucas Paquetá dakika ya 35 akimalizia pasi ya nyota mwenzake wa Ligue 1, Neymar wa PSG.
Brazil sasa itakutana na mshindi kati ya Argentina na Colombia zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho na fainali itachezwa Jumapili.
Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON
