MESSI ASAINI MKATABA WA PUNGOZO KUBAKI BARCELONA
NA huko Hispania taarifa zinasema Muargentina Lionel Messi amesaini mkataba wa miaka mitano kubaki Barcelona – lakini kwa punguzo la asilimia 50 ya malipo.
Mkataba huo mpya aliosaini baada ya ule wa awali kumalizika utamfanya adumu Camp Nou hadi atakapofikisha umri wa miaka 39.
Mkataba huo mpya aliosaini baada ya ule wa awali kumalizika utamfanya adumu Camp Nou hadi atakapofikisha umri wa miaka 39.
Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON
