Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 21.07.2021: Pogba, Messi, Locatelli, Haaland, Gil, Trippier, Ronaldo

Kiungo wa kati wa Manchester United Paul Pogba ananyatiwa na Paris St-Germain msimu huu wa joto na klabu hiyo ya Ligue 1 inapanga kuuwauza wachezaji kadhaa kukusanya £50m wanazoamini zitafanikisha azma ya kumpata Pogba. (Mirror)

Chazo BBC: BBC News Swahili - Michezo
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON