MANGUNGU ASHINDA TENA UENYEKITI SIMBA SC
HATIMAYE matokeo ya Uchaguzi wa Simba SC yametangwzwa na Murtaza Ally Mangungu ameshinda tena nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu kwa kupata kura 1,311.
Walioshinda nafasi ya ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ni;
1. Dr Seif Ramadhan Muba - kura 1636
2. Asha Baraka - kura 1564
3. CPA Issa Masoud Iddi - kura 1285
4. Rodney Chiduo - kura 1267
5. Seleman Harubu - kura 1250
Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON
