KLABU ya Yanga imeingia mkataba na kampuni ya Haier wenye thamani ya Sh. Bilioni 1.5 kama mdhamini mkuu kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON