YANGA YAPATA MDHAMINI MPYA WA BILIONI 1.5


KLABU ya Yanga imeingia mkataba na kampuni ya Haier wenye thamani ya Sh. Bilioni 1.5 kama mdhamini mkuu kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.


Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON