Magufuli: Mitandao imeathiri mila na desturi

leo Ijumaa, Rais wa Tanzania, John Magufuli ameshuhudia makabidhiano ya Mfumo wa kusimamia uwazi katika mawasiliano ya simu (TTMS) wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kueleza kutofurahishwa kwake na jinsi mitandao inavyochangia mmomonyoko wa maadili 

from Mwananchi | Gazeti za Kiswahili linaloongoza TanzaniaMwanzo http://bit.ly/2FBSUiG
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON