MOHAMED HUSSEIN 'MMACHINGA' ATEULIWA KOCHA MPYA YANGA PRINCESS BAADA YA EDNA LEMA KUJIUZULU


MSHAMBAULIAJI wa zamani wa Yanga, Mohammed Hussain Daima 'Mmachinga' ameteuliwa kuwa kocha Mkuu wa timu ya wanawake ya kkabu hiyo kuchukua nafasi ya Edna Lema aliyejiuzulu baada ya msimu uliopita.




Chanzo: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILI KUWA WA KWANZA KUPATA HABARI USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON